come

come
Tuletee habari za kijamii, michezo na burudani, email kabumbu1935@gmail.com

AZAM FC. CISM ZATOKA SARE YA 1-1

Azam FC imetoka sare ya 1-1 na CISM (Kombaini ya timu za Jeshi) katika mechi ya kirafiki iliyochezwa leo jioni Azam Complex, magoli yamefungwa na Hussein Nyamandulu wa CISM na Tchetche Kipre kwa Azam FC.

CISM inaundwa na wachezaji wa timu za Jeshi ambazo ni JKT Ruvu, Mgambo, Ruvu Shooting,Oljoro,Transcamp, Kipanga na Rhino Rangers ipo katika maandalizi ya kushiriki Mashindano ya timu za Majeshi Afrika Mashariki yatakayofanyika August 5-17 jijini Nairobi nchini Kenya

photo:Ibrahim Mwaipopo akimdhibiti mchezaji wa CISM leo jioni.Azam FC imetoka sare ya 1-1 na CISM (Kombaini ya timu za Jeshi) katika mechi ya kirafiki iliyochezwa leo jioni Azam Complex, magoli yamefungwa na Hussein Nyamandulu wa CISM na Tchetche Kipre kwa Azam FC.

CISM inaundwa na wachezaji wa timu za Jeshi ambazo ni JKT Ruvu, Mgambo, Ruvu Shooting,Oljoro,Transcamp, Kipanga na Rhino Rangers ipo katika maandalizi ya kushiriki Mashindano ya timu za Majeshi Afrika Mashariki yatakayofanyika August 5-17 jijini Nairobi nchini Kenya