Brown alisema uhusiano wa Chris na Rihanna hauwezi
kudumu kwa kuwa ni wa mafahari wawili, lakini alimsifia ‘mkewe’ huyo
kuwa ni mrembo na mwenye mafanikio.
Anasema mwanamke anayemfaa Chris Brown ni mpenzi wake wa zamani, Karrueche Tran kwa kuwa binti huyo alikuwa mtulivu na mnyenyekevu tofauti na Rihanna.
Anasema mwanamke anayemfaa Chris Brown ni mpenzi wake wa zamani, Karrueche Tran kwa kuwa binti huyo alikuwa mtulivu na mnyenyekevu tofauti na Rihanna.
Aliongeza kuwa kama Chris anapenda kuwa na
mwanamke, ambaye ni mwanamuziki kama yeye, basi Jordin Spark angemfaa
kwa kuwa ni mrembo, ana kipaji na mtulivu pia.