TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA ILI UNUFAIKE, KWA MAWASILIANO YETU PIGA NAMBA 0755 522216
come
Tuletee habari za kijamii, michezo na burudani, email kabumbu1935@gmail.com
SANAMU ZA VIONGOZI UINGEREZA KUABUDIWA
Sanamu za mawaziri wakuu wa
zamani wa Uingereza katika bunge la nchi zitatengwa ili kuzuwia wale
wabunge wanaogusa miguu ya sanamu hizo, wakiamini itawapa bahati.
Msimamizi aliiambia kamati ya bunge kwamba
sanamu za viongozi kama Winston Churchill na Margaret Thatcher
zinaharibika kwa sababu ya itikadi hiyo.
Ilani itawekwa, lakini mwenyekiti wa kamati amesema pengine vitawekwa vizuizi iwapo wabunge hawawezi kutuliza mikono yao.