![]() |
|
|
|
Frank Lampard amekiri kwamba ana jukumu la
kuendeleza mchezo wa hali ya juu ili aongezewe muda na mabingwa wa
Premier, Manchester City.
Mkopo wake kutoka klabu cha Marekani New York City FC utaisha mwakani wakati ligi ya nchi hiyo MLS itangoa nanga.
Lampard ambaye amefunga magoli manne katika mechi sita alichochezea City ananuia kuendeleza matokeo hayo ngoma baada ya nyingine.
“Niko hapa hadi Januari 1 na nitatilia hilo makini nikisubiri kutizama yatakayojili lakini kikao change hapa kinalingana na mchezo wangu na ikiwa sitacheza vyema, watanitimua hapa,” Lampard alisema.
Mkopo wake kutoka klabu cha Marekani New York City FC utaisha mwakani wakati ligi ya nchi hiyo MLS itangoa nanga.
Lampard ambaye amefunga magoli manne katika mechi sita alichochezea City ananuia kuendeleza matokeo hayo ngoma baada ya nyingine.
“Niko hapa hadi Januari 1 na nitatilia hilo makini nikisubiri kutizama yatakayojili lakini kikao change hapa kinalingana na mchezo wangu na ikiwa sitacheza vyema, watanitimua hapa,” Lampard alisema.