come

come
Tuletee habari za kijamii, michezo na burudani, email kabumbu1935@gmail.com

REALMADRID YAISHIKISHA ADABU ATLETICO MADRID

TIMU ya Real Madrid imetanguliza mguu mmoja katika Fainali ya Kombe la Mfalme kufuatia ushindi wa mabao 3-0 dhid ya Atletico Madrid katika Nusu Fainali ya kwanza Uwanja wa Santiago Bernabeu.
Mabao ya Real yalifungwa na Insua aliyejifunga dakika ya 17, Jese dakika ya 57 na Di Maria dakika ya 73. Sasa Real inaweza ikakutana katika Fainali na wapinzani wao wakubwa Hispania, Barcelona ambao nao pia jana waliifunga 2-0 Real Sociedad.
Flashy: Cristiano Ronaldo tries some step-overs during a fairly quiet match for the Ballon d'Or winner
Cristiano Ronaldo akionyesha mavitu yaliyompa Ballon d'Or winnerDelight: Pepe celebrates after putting Real Madrid in front during the first half
Pepe akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid jana