come

come
Tuletee habari za kijamii, michezo na burudani, email kabumbu1935@gmail.com

MOYES AANZA KIBARUA VIBAYA, MAN YALALA 1-0 BANGKOK

Start of the season friendly: David Moyes gesticulates angrily as his United side look sluggish Bao lililomfanya Moyes aweke kumbukumbu ya kuanza vibaya Man United lilifungwa dakika ya 50 na mchezaji anayevaa jezi namba 14 wa All-Stars, Teeratep Wonothai kwa shuti la mbali. Bao lililomfanya Moyes aweke kumbukumbu ya kuanza vibaya Man United lilifungwa dakika ya 50 na mchezaji anayevaa jezi namba 14 wa All-Stars, Teeratep Wonothai kwa shuti la mbali.

Bao lililomfanya Moyes aweke kumbukumbu ya kuanza vibaya Man United lilifungwa dakika ya 50 na mchezaji anayevaa jezi namba 14 wa All-Stars, Teeratep Wonothai kwa shuti la mbali. KOCHA mpya wa Manchester United, David Moyes jana ameanza kazi vibaya baada ya  kuchapwa 1-0 na wenyeji Singha All Stars XI mjini Bangkok.
Bao lililomfanya Moyes aweke kumbukumbu ya kuanza vibaya Man United lilifungwa dakika ya 50 na mchezaji anayevaa jezi namba 14 wa All-Stars, Teeratep Wonothai kwa shuti la mbali.

Firing in: Tom Cleverley runs away from Mario Djurovski and takes a shot
Tom Cleverley akimtoka Mario Djurovski 
England striker: Danny Welbeck tussles with Singha All Star's Kim Yoo-Jin
Danny Welbeck akikabiliana na Kim Yoo-JinBack in a red shirt: Left-back Fabio Da Silva runs away with the ball
Beki wa kushoto, Fabio Da Silva akiambaa na mpira
Good workout: Ben Amos punches a cross away with Rio Ferdinand in front of him
Ben Amos akipangua mpira huku Rio Ferdinand akiwa tayari kumsaidia.
Starting XI: David Moyes first team to play under his stewardship
11 walioanza: Hiki ndicho kikosi cha David Moyes katika mechi yake ya kwanza Man United