come

come
Tuletee habari za kijamii, michezo na burudani, email kabumbu1935@gmail.com

Kambi ya Yanga Pemba yazidi kunoga

Na. Elias John, PEMBA

MABINGWA wa soka wa ligi kuu Tanzania Bara Yanga SC wanaendelea vizuri, na kambi yao katika kujiandaa na mchezo wao wa ligi ya mabingwa barani Afrika Kati yao na AL Ahly ya Misri utakaofanyika Jumamosi ijayo uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Akizungumza na Staa wa leo mjini hapa,  kocha msaidizi wa mabingwa hao Juma Mwambusi amesema wachezaji wake
wamempa matumaini ya ushindi katika mchezo hip.

Mwambusi amedai kuwa zile kasoro zilizoonekana katika machi zilizopita dhidi ya Ndanda Kagera Sugar hazitajitokeza tena.

Kikosi kamili cha Yanga, Jumamosi ijayo Kitaivaa AL Ahly