come

come
Tuletee habari za kijamii, michezo na burudani, email kabumbu1935@gmail.com

DAVID BECKHAM ALIVYOAGWA KWENYE MECHI YA MWISHO BAADA YA KUTANGAZA KUSTAAFU


David Beckham na familia yake katika mechi yake ya mwisho kuichezea PSG baada ya kutangaza kustaafu soka.

David Beckham akiagana na kocha wake Carlo Ancelloti 

Machozi yakimtiririka David Beckham wakati uwanja mzima uliposimama kumuaga