come

come
Tuletee habari za kijamii, michezo na burudani, email kabumbu1935@gmail.com

Breaking News....Simba, Yanga hatihati kushiriki Kagame Darfur

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-d_1pji861RQfukPT3CrKkuK0I49hcrOxEgxe4Hqx4i9fpMLzccrCBynLXBZll-bbMQf07TSid_iPaki-lUGiXDZ1Go9odfb_RPQO7bIQ5bZ_wO_WlrvCtI3j9dRcZvGmd8NgoboKbp7j/s640/bingwa.jpg
MABINGWA watetezi wa kombe la Kagame Yanga na mpinzani wake wa jadi Simba wakashindwa kushiriki michuano ya klabu bingwa Afrika mashariki na kati maarufu kama kombe la Kagame ambayo itafanyika nchini Sudan, Kwa mujibu wa msemaji wa klabu ya Simba Ezekiel Kamwaga, Amesema kuwa hali ya Sudan kwa sasa si shwari hivyo serikali imetilia shaka ushiriki wa vilabu hivyo.
 Akiwa ameandika kwenye ukurasa wake wa facebook, Kamwaga amesema kuwa Huenda michuano hiyo isiwe na timu za Tanzania kufuatia serikali kushutushwa na usalama uliopo, 'Sudan hakuna usalama kwani ili uweze kuishi huko kwa siku hizo chache lazima ujikinge na mavazi ya kuzuia silaha', alisema Kamwaga.http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2012/09/Kikosi-Cha-Simba.jpg
'Serikali imesema haioni busara ya Kagame Cup kupigwa Darfur Hakuna hoteli ya maana na watu wanashauriwa kutembea na fulana zinazozuia risasi kupenya ilisema taharifa hiyo