Yanga imeanza mazoezi kwa jili ya kujifua na msimu ujao wa ligi kuu inayotarajia kuanza mwezi Agosti mwaka huu, Kikosi cha Yanga kimeanza mazoezi yake huku winga hatari Mrisho Ngassa akiwa kivutio katika mazoezi hayo
come

Tuletee habari za kijamii, michezo na burudani, email kabumbu1935@gmail.com
YANGA YAANZA MAZOEZI LEO, NGASSA AWA KIVUTIO
Yanga imeanza mazoezi kwa jili ya kujifua na msimu ujao wa ligi kuu inayotarajia kuanza mwezi Agosti mwaka huu, Kikosi cha Yanga kimeanza mazoezi yake huku winga hatari Mrisho Ngassa akiwa kivutio katika mazoezi hayo