come

come
Tuletee habari za kijamii, michezo na burudani, email kabumbu1935@gmail.com

T-SHIRTS ZINAUZWA, WADAU CHANGAMKIENI FURSA.

Na Sadallah Jabir.

WADAU wa masuala ya mavazi a.k.a kupendeza, wameshauriwa kuchangamkia fursa ya kununua T-shirts zenye ujumbe usemao USI4C NIKUAMINI kwani zina ubora na hadhi ya hali ya juu utakaokufanya uwe huru katika sehemu yoyote.

Hayo yamesemwa leo na mdau mkuu wa masuala ya mavazi hapa nchini Sadallah Jabir, alipokuwa akipiga story mbili tatu na mwandishi wa STAA WA LEO ofisini kwake maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam.

Sadallah au kama ambavyo wengi wanapenda kumuita Saddy, amesema "USI4C NIKUAMINI" ni ujumbe unaoweza kuvaliwa na watu wa rika zote, jinsia ya aina yoyote na pia unaweza kuivaa katika sehemu yoyote bila ya kutafsirika kuwa wewe ni mtu wa aina gani.

Aidha Saddy ameongeza kuwa "USI4C NIKUAMINI ni ujumbe unaowaasa watu wote wenye tabia ya kulazimisha kuaminiwa wakati sifa za namna hiyo hawana.

Saddy ameongeza kuwa T-shirts za USI4C   NIKUAMINI zinapatikana kwenye maduka ya nguo, na kwamba mawakala waaminifu wanahitajika. Kwa maelezo zaidi piga namba 0755673743